Sunday, January 4, 2015

moto wafanya uharibifu mkubwa

ni siku chache tangu kata ya rau iliyopo wilayani moshi kushuhudia moto mkubwa uliounguza na kuchoma maduka mawili pamoja na  chumba kimoja moto huo ambao chanzo chake akijajulikana ulitokea majira ya saa tano kasoro  na kuteketeza  mali za wamilikliki wa maduka hayo kikosi cha zimamoto kilifika na kutoa msaada eneohilo

No comments: