ni siku chache tangu kata ya rau iliyopo wilayani moshi kushuhudia moto mkubwa uliounguza na kuchoma maduka mawili pamoja na chumba kimoja moto huo ambao chanzo chake akijajulikana ulitokea majira ya saa tano kasoro na kuteketeza mali za wamilikliki wa maduka hayo kikosi cha zimamoto kilifika na kutoa msaada eneohilo
No comments:
Post a Comment