Sunday, January 4, 2015

ata kata zinashonwa


fursa zipo toka zaman hii ni kata ilipasuka lakin fursa ilitumika na kuifanya itumike tena kata nayo hushonwa inapopasuka hulowekwa mpaka iwe lain kisha hushonwa kwa kutumia uzi na sindano ya kushonea viatu na haitovuja na hua imara kama haijawai pasuka hii ndo kilimanjaro hii ndo moshi karibu tena mgeni uliyekuja kuhesabiwa

No comments: