mwenyekit wa vijana JKT alazimishiwa penzi
Mwenyekiti wa vijana JKT: Nililazimishwa nifanye mapenzi

HALI bado ni tete kwa mwenyekiti wa vijana waliofuzu mafunzo ya
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lakini wakakosa ajira, George Mgoba
kufuatia kutekwa kwake na kujeruhiwa vibaya hivi karibuni na watu ambao
bado hawajajulikana.
Mwenyekiti wa vijana waliofuzu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
lakini wakakosa ajira, George Mgoba akiwa katika Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili
Mgoba ambaye mpaka juzi alikuwa bado amelazwa katika Hospitali ya
Mkoa wa Ilala, Amana jiijini Dar es Salaam baada ya kujeruhiwa,
simulizi yake inaonesha kichwani kumejaa msongo mkubwa wa mawazo
kutokana na watu waliomteka kumlazimisha kufanya mapenzi na mwanamke
mmoja.
No comments:
Post a Comment