mboga za majani ni afya ila hii sasa inabidi wauzaji wae na dawa za magonjwa maana hii ni hatari kwa maisha ya mtumiaji mboga zinazolimwa katika mazingira ya ajabu … sasa baraza la mazingira
Tanzania NEMC limebaini kuwa wakulima wa mboga za majani wengi wamekuwa
wakitumia majitaka kumwagilia hizi mboga.akisema na itv
Afisa wa NEMC amezungumza na kusema; “… Kama Serikali hatuwezi kuruhusu kitu kama hicho.. hatutaruhusu tena kumwagilia kinyesi kwenye mchicha, haturuhusu hicho kitu, hakuna serikali hiyo ambayo itaruhusu vitu hivi…”
Afisa wa NEMC amezungumza na kusema; “… Kama Serikali hatuwezi kuruhusu kitu kama hicho.. hatutaruhusu tena kumwagilia kinyesi kwenye mchicha, haturuhusu hicho kitu, hakuna serikali hiyo ambayo itaruhusu vitu hivi…”
No comments:
Post a Comment